Haki Za Mke Kwa Mume. Naaswir Bachu 1 of 8 (Alhidaaya.com)
Mtume صلى الله عليه وسلم aliusia kuwa wanawake watendewe mema kama alivyosema
{Mbora wenu ni yule Aliye mbora kwa familia yake na mimi ni mbora kabisa kwa familia yangu} At-Tabarani
– Kauli hii ya Allaah سبحانه وتعالى imekamilishwa na kauli ya Mtume صلى الله عليه وسلم
(Nakuusieni kuwafanyia wema wanawake ) Al Bukhari na Muslim
– {Na kaeni nao kwa wema} An-Nisaa 4:19
Sheikh Naaswir Bachu kutoka tovuti ya Alhidaaya.com
Salaam alaykum
I would like to get updates
Asalaam alaykum
Wanaume wawo hawana haki kwa wake zao?
Walau ‘aalam
mashallah
Swadikta yaa sheik tujitahid kuwafanyia wema wake zetu
assalaam alaykum,kwann vijana wengi wanavaa heleni pia nakusuka nywele?!!.
http://Www.Google.co.tz
Asalamu aleykum,vipi kuhusu haki za wanaume?
Asalamu aleykum,ipi hukumu,ya mwamke anayekataa kumpa mumewetendo la ndoa kwa maksudi,pasi dharura yoyote? Naomba nijibiwe.
AHSANTENI SANA ALHIDAAYA KWA MAZURI
Please naomba kuelezwa izo haki za mwanamke kwa mume wake
Asalam aleykum, mbona mawahidha ya shekhe Naaswir Bachu hayapo kwenye tovuti hii ya alihidaya wakati mwanzo yalikuwepo
Shukran kwa maelezo ya haki za mume kwa mke